KINGSOKA

KINGSOKA

BORA NIENDE SEHEMU YA TANO



BORA NIENDE(5)

KING SOKA
PHONE:+255717758864
DAR ES SALAAM_TZ
PAGE
#STORY_ZA_KING_SOKA
Email address
jacksonsoka@gmail.com

Ni asubuhi ya saa tano, jua kali njee linawaka, nilistuka kusikia mlango ukigongwa huku mke wangu akiwa anaongea peke yake huku akiendekea kugonga mlango wa chumba nilichokuwa nimelala.
Sliendelea kugonga bila kusikia majibu kutoka kwangu huku akionyesha kukubali kosa na kuniomba nifungue mlango kusudi tuongee.
Moyoni nilijiuliza sana ni kweli kieahisi rahisi hivi nifungue mlango na kuanza kumsikiliza kweli aikuwa rahisi hata kidogo kukubaliana na swala hilo.


Moyoni nilibaki nikimfikiria sana bila kupata majibu nilitamani nifungue mlango kisha nitoke njee na kuita Majirani waje washuhudie lakini roho ilisita.
Nilijikuta nikianza kutokwa na chozi upya uku ikiwa ndiyo kwanza nimetoka usingizini.
Usingizi uliokuwa ukinikumbusha siku ya mwisho ya ya kukutana kimwili na mpenzi wangu(mke wangu) siku iliyobaki imeganda akilini mwangu, kutokana na mambo tuliyoyafanya siku hiyo, na kuwa ndiyo siku yangu ya mwisho kufurahi na mke wangu kipenzi niliyempenda kuliko mwanamke yeyote maishani mwangu na katika dunia hii kwa ujumla.

Baada ya lisaa limoja na dakika kadhaa kupita, taratibu niliamua kufungua mlango ili nitoke njee ya chumba cha mwanangu ili niweze kusogea sebleni kusudi niweze kuwasikiliza wagoni wangu.
Tena nikiwa sina hata chembe ya hasira moyoni mwangu, na sijui hata ujasiri huo niliupatia wapi kwa dakika chache tu, wakati nilitoka kudondosha machozi muda mfupi uliopita.

Hamadi ile nafungua mlango nilikutana uso kwa uso na mke wangu uku akiwa anefuga kanga moja tu mwilini mwake huku sehemu kubwa ya maumbie yake yakionekana na kumfanya mwanaume yeyote ambaye angepata kumuona ni lazima angemtani kutokana na mavazi aliyokuwa ameyavaa, huku akiwa hana kitu ndani ya mwili wake zaidi ya chupi na sidiria iliyo yastiri maziwa taye, niliyo yapenda kuyachezea kila wakati nilipokuwa naye eneo la tukio tukijiandaa na kufanya mapenzi hata wakati wowote ninapo kuwa karibu naye nilikuwa nikivutiwa sana na chuchu zake saa sita kama ilivyo kwa vijana wengi upendelea kuziita hivyo chuchu zilizo simama.

Nilishangaa kumuona pia jamaa aliokuwa akimfaidi mke wangu naye akiwa nyuma ya mke wangu huku akiwa amepiga magoti akionyesha kila dalili za kukata tamaa na akiwa anatetemeka sana kiasi kwamba huruma iliniingia moyoni mwangu na kubaki nikitikisa kichwa kwa uchungu huku nikifuta machozi tu, yaliyokuwa hayakauki machoni mwangu, kila saa nilivyo mkumbuka mke wangu kwa matukio niliyo yaona na kuyasikia
Ilinifanya nizidi kudondosha chozi tu.

"Mume wangu nitaificha wapi sura yangu mimi mwamamke nisiyekuwa na haya, nimekukosea sana mume wangu naomba unisamehe au niadhibu uwezavyo najua za mwizi ni arobahini na mimi zangu zimetimia leo, mume wangu nahitaji msamaha wako wa aina yoyote mimi nitarizika pia adhabu ya aina yoyote mimi nipo tayari kuipokea mume wangu naomba nisamehe naomba nisamehe naomba mume wangu.
Sijui ni shetani gani kanidanya mpaka kufanya jambo hili! nakuahidi sinto rudia tena mume wangu amini ninacho kuambia mume wangu.
Na nikirudia tena nikatie shingo yangu chini na uizike sehemu hata maiti yangu isije onekana ata na mbwa akaifukuwa na kuirudisha kuniani maana itakuwa nimekutonesha jeraha la moyo wako"
Aliongea mke wangu huku ajijicgagulia adhabu na kika kitu kwa kufahamu kosa lake.
Nilibaki nikimuangalia tu usoni jinsi alivyokuwa gana aibu kwa maneno yake aliyo kuwa akiyaongea.
Nilitamani ata nimpige kofi lakini nilishindwa kwa jinsi nilivyokuwa na hasira ningeweza nikauwa na badae nikaambulia kifungo cha kujitakia.

"Hivi huyu mwanamke nimfanyaje mimi jamani, mbona hivi mimi nimesha muachia mungu nani mimi tu nimebaki kuondoka katika nyumba hii na mwanangu, na yeye nimuache na maisha yake aliyo yachagua maana sikaniona mimi boya sina akili kwa kumuowa na kumueka ndani na leo ananiletea mwanaume ndani kwangu bora niwaache wawili waliopenda mimi wakati wangu umeisha na sasa ni wakati wake lakini atanikumbuka, huyu mimi sijamkosea kitu leo kaamua kunifanyia hivi.
Kweli mjinga ni mimi ninayetunza wenzangu wanachukua tena kirahisi kabisa, tena bila aibu wala uoga anakuja kupatia utamu wa mke wangu ndani ya nyumba yangu chuma changu na kitanda changu anaketa mabwana"
Nilibaki nimesimama mlangoni nikishindwa kwenda mbele wala kurudi nyuma nilibaki nimeganda kama nyamavu mlangoni tu, kwa bumbuwazi la kushangaa tu huku nikilowa mashavuni kwa machozi .

"Mume wangu mbona utaki kuongea au ndiyo unafikiria azabu ya kuniadhibu maana mpaka nakuogopa kwa jinsi ulivyo simama kama unataka kunirukia nambie kama nisali sala zangu za mwisho nijue naenda kufa maana najua hukumu yangu ni kifo na kama siyo kifo sijui mpenzi.
Nimeteleza naomba nisamehe narudia tena kusema sinta rudia tena na nikirudia itie roho yangu"
Aliongea mke wangu huku akiwa abafuta achozi kwa kulia.
Sijui ni kweli au ni danganya toto tu.
Lakini mimi msimamo wangu ni ule ule BORA NIENDE na nimuache pekeyake.

ITAENDELE→→→→→