KINGSOKA

KINGSOKA

BORA NIENDE SEHEMU YA KUMI



 BORA NIENDE(10)

KING SOKA
PHONE:+255717758864
DAR ES SALAAM_TZ
PAGE
#STORY_ZA_KING_SOKA
Email address
jacksonsoka@gmail.com

ILIPO ISHIA→↓↓↓↓↓↓↓↓↓→←↓

"Mimi siendi sehemu mbona napewa kesi nisiyo ijua milioni sabini na tano ningechukua mimi kazini bingefuata nini kama siyo ni uonevu huu.
Boss unanione mimi chinguza kwanza"
Niongea uku nikiburuzwa kuelekea kuelekea ilipo gari ta police.


SONGA NAYO》》》》》》↓

Nilichukuliwa juu juu baada ya kuleta ujeuri nikiwa sitaki kuondoka na police.
Baada ya kufikishwa katika gari nilipigwa virungu bila hata kosa wakiniita mimi jambazi.

Hatimaye ndani ya mwezi mmoja sasa bado nipo maabusu nikiwa sijui hata ni lini nitatoka au ni lini nitasomewa sitaka langu angalau ata nijitete mahakamani.
Lakini haikuwa rahisi wala hata kufikishwa mahakamani bado miezi ilizidi kukatika bila kuhukumiwa kila nilipo fikishwa mahakani kisingizio kilikua ni ushahidi haujakamilika hivyo nilirudishwa naabusu kuendelea na azabu za kila mara kufinywa na mitambo maalumu ya mateso.
Nilibaki kutazama watu wakija na kutoka na kusomewa mastaka lakini mimi haikuwa rahi kufanyiwa hivyo.

Hatimaye siku ya siku ikafika tena kwa mara ya tano nikipandishwa kizimbani bila kupa hukumu yangu.

'Asante Mungu bora niende nukaukumiwe tu maana nimepachoka hapa ndani kila siku nipo hapa hapa wenzangu wanakuja na kuondoka lakini mimi sijui ni lini nitatoka maana nimechoka mateso ya kila siku mpaka jela imenizoeya sasa miezi saba sasa nipo hapa kila siku narudishwa hapa hapa"
Niliongea kimoyoni wakati nikipandishwa katika karandinga la police na kupelekwa mahakamani.

Kwa mara ya kwanza nilipata nafasi ya kuongea mahakamani.

"Jackson! Mnamo tarehe23/5/2006 Unatuhumiwa kwa kosa la upotevu wa jiasi kikubwa cha pesa cha bwana Petter.
Je una chochote juu ya tuhuma hii inayo kukabili"
Aliongea akimu akiefahamika kwa jina la Matha.

Nilijitahidi kwa kadri niwezavyo kuueleza ukweli wangu lakini nilishindwa na kesi bado ikawa imenielemea mimi.
Ikionesha kila dalili ya kesi kuelemea upande wangu.
Nilirudishwa tena mahabusu tena kwa mara nyingine nikiwa hata sielewi nini Hatima yangu ya kuendelea kuishi mahabusu.
Hapo ndipo nilipo amini palipo na pesa hata sheria inakuwa kipofu.
Maana kwa ufahamu wangu mahabusu mtu akai wiki mbili na zaidi lakini mimi nilishamaliza miezi ya kutosha mahabusu.

Siku ya mahakama kwa mara nyingine tena iliwadia na ndiyo ilikuwa siku ya hukumu kutolewa .
Hatimaye nilikaa kwa makini kusikiliza hukumu yangu itakayo tolewa na mahakamani na kwenda kuanza kuitumikia.
Huku aliokuwa akiisikiliza kesi yangu siku hiyo ndiye akiokuwa akitoa hukumu yangu.

"E Mungu tenda muujiza wako uweze kuishangaza dunia kwa mimi kuishinda kesi hii nisiyo itambua wala kujua kisa chake lakini boss ameamua kunibambikia kesi ili anitese tu.
Au ana makusudio yake siwezi kujua nacho omba Mungu utende muujiza wako tu baba maana sina ujanja mpaka sasa kila ninapo jaribu kuongea ukweli bado naonekana muongo tu na hakuna anae niamimi zaindi ya wewe ndiye unatetambua nazungumza ukweli au nadanganya"
Niliongea peke tangu! Huku nikiwa ninejiinamia tu.
Nikiwa nasubiria hukumu yangu na siyo kitu kingine maana kila kifu kilionesha mimi ni muizi hata mashaidi walikuwepo wakitoa ushaidi wa kunikandamiza mimi.

Sikutaka kuamimi baada ya hukumu kutoka nilijikojolea pale pale kizimbani na kudongoka chini na kupoteza fahamu.
Kuja kuzinduka nilijikuta nikiwa nyumbani kwangu lakini haikuwa nyumba tangu tena maana saa yoyote ilikuwa inapigwa mnada ili ipatikane pesa ya boss milioni sabini na tano.

"Inamaana ni kweli nyumba yangu inauzwa kwa kesi nisiyo ifahamu huyu boss lazima nihusike na kifo chake kinyume na Hapo bado sinta ishi kwa raha maishani.
Nimesha kuwa masikini sasa narudi katika nyumba ya kupenda sasa.
Na bora hata sijaowa maana ningeishi vipi maisha haya ya kupanga.
Chumba kimoja na mke na mtoto kweli.
Bora nirudi kijijini lakinu maisha ya mjini yamesha nishinda kama nyumba sina tena hapa muda wowote inapigwa mnada.
Na nabaki bila hata kitu chochote .
Niliongea mimi wakati nikiwa nimekaa kibarazani kwangu katika nyumba tangu ambayo siku siyo nyingi inapigwa mnada.

Maisha yangu yalikua ni ya pombe pombe na mimi huku nikisubiri nyumba yangu kuuzwa huku nikiwa sina kazi wala sina maali pa kukaa tena endapo nyumba yangu itauzwa.
Maisha kwa kiumbe mimi yalizidi kuwa magumu huku.

Maisha ya umalaya ndiyo yaliyochukua maisha yangu.
Nakumbuka siku niliyolala na changudoa niliyo mtoa buguruni katika nigth club.

"Oooh ooooh oooh unaniumiza mseng... wewe unazani hii k..m ni shimo unaingiza tu, na kutoa kama unavyofanya.
Kama ujui tafuta wanawake wengine lakini mimi siyo uwanja wa mazoezi.
Kama uwezi kusex kistarabu nipishe niondoke zangu nikawatafute wenzako wanaojua kutumia mashine zao.
Mtu umejaaliwa nanii kubwa lakini uwezi kuitumia wewe vipi muda wa kazi huu, mtu mwenyewe unaonekana mlugaluga tu sijui umetokea sigimbi.
Najuta hata kukutana na wewe"
Aliongea msichana niliyetoka naye club na kumlipa pesa kwa ajili ya kulala naye baada ya kuwa nimelewa sana.

"Hivi wewe unazani pesa inaokotwa 30000|-
Siyo pesa ya kutania kama utaki lete pesa yangu utambae zako kwanza usizidi kunichanganya hapa.
Maana hata sikuelewi kwanza unaguna kiuwizi uwizi naomba uniache tu nifanye kazi yangu mbona pesa yako ulivyotaja nimekupa bila pingamizi"
Niliongea mimi
"Unasemaje wewe mseng..."

ITAENDELEA...............

Jack sasa ndiyo anapunguza matatizo au anaongeza.
Nyumba inauzwa sijui itakuwaje kweli atarudi kijijini au ndiyo inabidi akomae na jiji yote yapo huku huku ndani BORA NIENDE.